Kama wanaohudumiwa wanawalaumu na kuwalalamikia sana wanaowahudumia, je
wanaohudumia watahudumiwa na nani?na wakilalamikiwa nawao watamlalamikia
nani? Siyo vema kulaumu na kulalamika kilawakati maana na hao
wanaolalamikiwa wana haki ya kulalamika nao ni binadamu kama binadamu
wengine.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni