Apambanaye ili ale keki akaikosa daima huishia kulaumu kuwa keki ni chanzo cha ugonjwa wa sukari, hivyo huishia kula viazi kama mbadala, ila akiitiwa ale hiyo keki hutupa viazi pembeni na kukimbilia hiyo keki aliyoituhumu hapo kabla kuwa ni chanzo cha ugonjwa wa sukari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni