Jumanne, 11 Aprili 2017

MATUMIZI MABAYA YA SILAHA ZA MOTO

    Tanzania kumekuwepo utaratibu wa kupewa kitambulisho kwa kila raia.
    Lakini cha ajabu nimeona katika habari mmoja alivyoulizwa atoe kitambulisho chake, akatoa bastola! Kumbe hizo bastola ndoo vitambulisho vipya vilivyoidhinishwa?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni